Wednesday 29 July 2015

HABARI KATIKA PICHA ZA MATUKIO YALIYOJILI KWEYE MKUTANO WA 16 WA KUWASILISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI INAYO FADHILIWA NA TMEA POMOJA NA MKUTANO WA BARAZA LA MAWAZIRI WA FEDHA, MAMBO YA UCHUMI NA BAJETI ULIOFANYIKA ZANZIBAR

Kaimu Mkurugenzi Idara ya Sera na Mipango Bw. Petro Lyatuu (katikati) akiwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Idara hiyo Bibi Graceana Shirima (wakwanza kushoto) wakifuatilia jambo kwenye Mkutano wa 16 wa  wadau wa kutoa Taarifa ya utekelezaji wa miradi inayofadhiliwa na Shirika la TradeMark East Afrika (TMEA) kwa kipindi cha Robo ya Nne ya Mwaka 2014/2015 uliofanyika katika Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam 28 July, 2015.
Baadhi ya wajumbe wakifurahia jambo kwenye Mkutano wa 16 wa wadau wa kutoa Taarifa ya Utekelezaji wa Miradi inayofadhiliwa na Shirika la TradeMark East Afrika kwa Robo ya Nne ya Mwaka 2014/2015. 28 July, 2015.
Katibu Mkuu Bibi Joyce Mapunjo (katikati) wakijadili jambo na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la TradeMark East Afrika (TMEA) Dkt.  Josaphat Kweka (kulia)  kwenye Mkutano wa 16 wa Wadau wa kutoa taarifa ya utekelezaji wa miradi inayofadhiliwa na Shirika la TMEA kwa robo ya nne ya mwaka 2014/2015 uliofanyika katika Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam 28 July, 2015. Wakwanza kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika hilo Bw. David Stanton
Katibu Mkuu Bibi Joyce Mapunjo (katikati) wakijadili jambo na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la TradeMark East Afrika Dkt. Josaphat Kweka (kulia) kwenye Mkutano wa 16 wa wadau wa kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Miradi inayofadhiliwa na Shirika la TMEA kwa robo ya nne ya mwaka 2014/2015. Kushoto Mkurugenzi Mkuu wa Shirika hilo Bw. David Stanton 28 July, 2015.
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Bibi Robi Bwiru akiwa na baadhi ya wajumbe wengine kwenye Kikao cha 16 cha wadau cha kutoa taarifa ya utekelezaji wa Miradi ya inayofadhiliwa na Shirika la TMEA kwa robo ya nne ya mwaka 2014/2015 kilichofanyika Serena Hotel Jijini Dar es Salaam 28 July, 2015.
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bibi Joyce Mapunjo (mwenye koti jekundu) akiwa na wajumbe wengine kwenye Mkutano  Baraza la Mawaziri wa Fedha na Mambo ya Uchumi na Bajeti uliofanyika katika Hoteli ya Zanzibar Ocean View Kisiwani Unguja  tarehe 20 hadi 25 July, 2015.
Katibu MKuu Bibi Joyce Mapunjo (katikati) , Mkurugenzi Mkuu wa TMEA Bw. David Stanton (kushoto) na Mkurugenzi Mkazi wa TMEA Dkt. Josaphat Kweka (kulia) wakifuatilia  Mkutano wa 16 wa wadau wa kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Miradi inayofadhiliwa na Shirika la TMEA kwa robo ya nne ya mwaka 2014/2015 uliofanyika katika Hoteli ya Serena Jijini Dar 28 July, 2015.
Kaimu Mkurugenzi Idara ya Sera na Mipango Bw. Petro Lyatuu(kushoto), Mkurugenzi Msaidizi wa Idara hiyo Bibi Graceana Shirima wakijadili jambo kwenye Mkutano wa 16 wa wadau wa kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Miradi inayofadhiliwa na Shirika la TMEA kwa robo ya nne ya mwaka 2014/2015 uliofanyika katika Hoteli ya Serena Jijini Dar 28 July, 2015. 
Mkurugenzi Mkuu  wa TMEA Bw. David Stanton (kulia) akifafanua jambo kwenye Mkutano wa 16 wa wadau wa kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Miradi inayofadhiliwa na Shirika hilo uliofanyika katika Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam 28 July, 2015. Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara Bibi Joyce Mapunjo
Kaimu Mkurugenzi Idara ya Sera na Mipango Bw. Petro Lyatuu akizungumza kwenye Mkutano wa 16 wa wadau wa kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa miradi inayofadhiliwa na TMEA kwa robo ya nne ya mwaka 2014/2015 uliofanyika katika Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam 28 July, 2015.
Katibu Mkuu Bibi Joyce Mapunjo akisisitiza jambo kwenye Mkutano wa kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Miradi ya TMEA kwa robo ya nne ya mwaka 2014/2015 Tarehe 28 July 2015.
Katibu Mkuu Bibi Joyce Mapunjo akisisitiza jambo kwenye Mkutano wa kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Miradi ya TMEA kwa robo ya nne ya mwaka 2014/2015 Tarehe 28 July 2015.
Katibu Mkuu Bibi Joyce Mapunjo (katikati) akisisitiza jambo kwenye Mkutano wa kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Miradi ya TMEA kwa robo ya nne ya mwaka 2014/2015 Tarehe 28 July 2015. Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa TMEA Bw. David Stanton na Kulia ni Mkurugenzi Mkazi wa Shirika hilo Dkt. Josaphat Kweka 
Katibu Mkuu Bibi Joyce Mapunjo (kushoto) akifuatilia jambo wakati wa uwasilishwaji wa taarifa ya utekelezaji wa miradi inayofadhiliwa na TMEA kwenye Mkutano wa 16 wa wadau uliofanyika katika Hoteli ya Serena Jijin Dar es Salaam 28 July, 2015
Kaimu Mkurugenzi Idara ya Biashara, Uwekezaji, na Sekta za Uzalishaji Bw. Bernard Haule akifuatilia Mkutano wa 16 wa uwasilishwaji wa taarifa ya utekelezaji wa Miradi inayofadhiliwa na TMEA kwa robo ya nne ya mwaka 2014/2015 uliofanyika katika Hoteli ya Serena Jijini Dar 28 July, 2015.
Katibu Mkuu Bibi Joyce Mapunjo (katikati mwenye miwani) akiwa na wajumbe wengine katika picha ya pamoja mara baada ya Mkutano wa 16 wa wadau wa kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa miradi inayofadhiliwa na TMEA kwa robo ya nne ya mwaka 2014/2015 uliofanyika katika Hoteli ya Serena Jijini Dar 28 July, 2015.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bibi Joyce Mapunjo ((Katikati mstari wa mbele) akifuatilia kwamakini Mkutano uliokuwa ukiendelea wa  Baraza la Mawaziri wa Fedha na Mambo ya Uchumi na Bajeti uliofanyika katika Hoteli ya Zanzibar Ocean View Unguja tarehe 20 hadi 25 July, 2015.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bibi Joyce Mapunjo (Katikati mstari wa mbele) akiwa na wajumbe wengine kwenye Mkutano  Baraza la Mawaziri wa Fedha na Mambo ya Uchumi na Bajeti uliofanyika katika Hoteli ya Zanzibar Ocean View Kisiwani Unguja  tarehe 20 hadi 25 July, 2015.

Wapili kushoto ni Afisa Uchumi Kutoka Wizarani Bw. Emmanuel Mbwambo akiwa kwenye Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa Fedha na Mambo ya Uchumi na Bajeti uliofanyika katika Hoteli ya Zanzibar Ocean View Kisiwani Unguja tarehe 20 hadi 25 July, 2015.

Tuesday 14 July 2015

EAC deploys Regional Medical and Public Health Emergency Support Teams to Refugee Camps in Kigoma, Tanzania and Eastern Province of Rwanda



East African Community Secretariat, Arusha, Tanzania, 13 July 2015: The East African Community (EAC) has deployed Emergency Regional Medical and Public Health Support Teams to the Refugee Camps hosting refugees from Burundi in Kigoma Region in Tanzania and at the Mahama Main Refugee Camp and the surrounding local host communities in Kirehe and Bugesera Districts in the Eastern Province of Rwanda.

The deployment has brought together over one hundred (100) medical specialist doctors and other health workers drawn from the East African Community Secretariat, the EAC Partner States’ National Referral Hospitals, the East, Central and Southern Africa Health Community (ECSA)-Health Community Secretariat, the United Nations High Commission for Refugees (UNHCR), the International Federation of Red Cross and the Red Crescent (IFRCRC), the Tanzania Red Cross Society (TRCS), Medicines Sans Frontieres (MSF) to join their local counterparts and other health care workers based in Kigoma Region in Tanzania from 5 to 11 July 2015, and in the Eastern Province of Rwanda from 13 to 17 July 2015, to offer a wide range of services that include; Obstetrics and Gynaecology, Paediatrics and Child Health, General (Internal) Medicine, General Surgery, Orthopeadic Surgery, Ophthalmology/Eye Surgery, Oncology, Nutrition, Neurosurgery, Dental and Oral Health Surgery, Ear, Nose and Throat Surgery, among others.

According to the Secretary General of the East African Community, Amb. Dr. Richard Sezibera, the deployment of the Health Emergency Support Teams is based on Article 118 (a) of the Treaty for the Establishment of the East African Community with respect to regional cooperation in health activities whereby Partner States undertake to, among others; take joint action towards the prevention and control of communicable and non-communicable diseases and to control pandemics and epidemics of communicable and vector-borne diseases such as HIV-AIDS, cholera, malaria, hepatitis and yellow fever that might endanger the health and welfare of the residents of the Partner States, and to co-operate in facilitating mass immunization and other public health community campaigns.

Prior to the deployment, a joint technical team of health experts from the EAC Secretariat; ECSA Health Community Secretariat; UNHCR; IFRCRC; TRCS; MSF; and from the Government of the United Republic of Tanzania conducted a Rapid Public Health Needs Assessment of the affected Burundian Refugees and the local host communities in Kigoma region of Tanzania from 8 to 10 June 2015.

A similar Rapid Public Health Needs Assessment was carried out in Eastern Province of Rwanda from 15 to 19 June 2015 by same joint technical team of health experts to assess and document additional technical, financial and material resources required for further additional medical and public health support in the affected areas.

According to reports from the EAC Teams on the ground, 75,768 Burundian refugees had been registered at Nyarugusu Refugee Camp as of Thursday 9 July 2015, of which 60% were Women and Children. In the Eastern Province of Rwanda, there were 29,089 persons registered at Mahama Refugee Camp as of Wednesday 8 July 2015, of which 14,438 were females, 14,650 males and 5,981 children.

The refugee population and the local host communities in Kigoma Region in Tanzania have already experienced massive outbreaks of over five-thousand (5,000) diarrhoea-related diseases including thirty four (34) confirmed cases of cholera infections with four (4) deaths – two Burundians and two local Tanzanians and other outbreaks of various communicable diseases. Currently, over a period of four (4) days from 5 to 9 July 2015, a rapid influx of additional 2,646 Burundian Asylum Seekers/Refugees were received and registered at the Nyarugusu Main Refugee Camp in Kaulu District of Kigoma Region of Tanzania.

Since the arrival of the first group of thirty-six (36) Burundian Refugees at the Nyarugusu Main Refugee Camp on 26 April 2015, the number of Burundian refugees registers at the camp rose rapidly to 54,000 as of 10 June 2015 at the time which the EAC conducted the rapid medical and public health needs assessment in the area and an additional 22,768 new arrivals came in over a period of 30 days as of 9 July 2015. There have been 910 new babies born at the camp since April 2015 and 86 Burundian refugees have died at the camp since April 2015 up-to 9 July 2015. In addition, there are a total of 787 special needs persons among the Burundian refugee population and these vulnerable group comprise elderly persons, people with disabilities and orphaned children.

According to Dr. Stanley Sonoiya, the Principal Health Officer at the East African Community Secretariat, who is coordinating the Regional Medical and Public Health Emergency Support Teams, the medical and public health needs of the Refugees were “overwhelming because of the large numbers of the very sick and weak populations which have encountered outbreaks of various communicable diseases and many more were suffering from chronic illnesses due to various non-communicable diseases. These were being aggravated by the displacements, deprivations, lack of access to adequate and regular health care and also lack of medicines and poor nutrition as well as poor public health and sanitation facilities”.

Dr. Sonoiya notes that the situation requires a very large scale joint EAC regional inter-governmental and international multi-agency coordination and resource mobilization to be deployed to meet the required immediate and long-term medical and public health needs, including support for referrals and treatment of serious acute and chronic illnesses which require medical specialized investigations, diagnosis and proper health care management at various national referral hospitals in the EAC region.

The EAC official has recommended that the current adverse and serious medical and public health situation of the Refugees should be considered and discussed by the relevant EAC Policy Organs and other stakeholders and partners in order to find more sustainable interventions and support in the immediate period, short-term and long-term as may be applicable.

Monday 6 July 2015

COMMUNIQUÉ: 3RD EMERGENCY SUMMIT OF HEADS OF STATE OF THE EAST AFRICAN COMMUNITY ON THE SITUATION IN BURUNDI

EAST AFRICAN COMMUNITY

THE 3RD EMERGENCY SUMMIT OF HEADS OF STATE OF

THE EAST AFRICAN COMMUNITY ON THE SITUATION IN BURUNDI

COMMUNIQUÉ


1.    THE EAST AFRICAN COMMUNITY (EAC) CONVENED THE 3RD EMERGENCY SUMMIT AT THE LEVEL OF HEADS OF STATE IN DAR-ES-SALAAM, TANZANIA, ON 6 JULY 2015, TO REVIEW THE SITUATION IN BURUNDI, UNDER THE CHAIRMANSHIP OF H.E. PRESIDENT JAKAYA MRISHO KIKWETE OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, AND IN THE PRESENCE OF H.E. PRESIDENT YOWERI KAGUTA MUSEVENI OF THE REPUBLIC OF UGANDA. THE SUMMIT WAS ALSO ATTENDED BY HON. AMINA MOHAMED, CABINET SECRETARY, MINISTRY OF FOREIGN AFFAIRS AND INTERNATIONAL TRADE REPRESENTING H.E. UHURU KENYATTA; HON. AMB. VALENTINE RUGWABIZA, MINISTER FOR EAC AFFAIRS REPRESENTING H.E. PRESIDENT PAUL KAGAME OF THE REPUBLIC OF RWANDA; HON. ALLAIN NYAMITWE, MINISTER FOR EXTERNAL RELATIONS AND INTERNATIONAL COOPERATION, REPRESENTING H.E. PRESIDENT PIERRE NKURUNZIZA OF THE REPUBLIC OF BURUNDI; HON. MANUEL AGUSTO, SECRETARY OF STATE, REPRESENTING H.E. PRESIDENT JOSE DOS SANTOS OF THE REPUBLIC OF ANGOLA; AMB. THAMSANGA MUSELEKU, REPRESENTING H.E. PRESIDENT JACOB ZUMA OF THE REPUBLIC OF SOUTH AFRICA; AMB. SMAÏL CHERAGUI, REPRESENTING H.E. DR.NKOSAZANA DLAMINI ZUMA, CHAIRPERSON OF THE AFRICAN UNION COMMISSION.

2.    THE SUMMIT WAS ALSO ATTENDED BY MINISTERS OF EAC PARTNER STATES, THE SECRETARY GENERAL OF THE EAC, AMB. DR. RICHARD SEZIBERA; THE SPECIAL REPRESENTATIVE OF THE CHAIRPERSON OF THE AU COMMISSION FOR THE GREAT LAKES REGION, PROFESSOR IBRAHIMA FALL; THE SPECIAL REPRESENTATIVE OF THE SECRETARY-GENERAL OF THE UNITED NATIONS FOR CENTRAL AFRICA, PROFESSOR ABDOULAYE BATHILY; THE EXECUTIVE SECRETARY OF THE INTERNATIONAL CONFERENCE FOR THE GREAT LAKES REGION (ICGLR), PROFESSOR NTUMBA LUABA AND MEMBERS OF THE EAC PANEL OF EMINENT PERSONS INCLUDING JUSTICE JOSEPH WARIOBA AND AMB. BETHUEL KIPLAGAT.

3.    THE SUMMIT TOOK PLACE AS A FOLLOW-UP TO THE EAC EMERGENCY SUMMIT OF 31ST MAY 2015 AND IN THE CONTEXT OF THE COMMUNIQUÉ ADOPTED BY THE 515TH MEETING OF THE AU PEACE AND SECURITY COUNCIL (PSC), HELD IN JOHANNESBURG, SOUTH AFRICA, ON 13 JUNE 2015.

4.    GIVEN THE CONTINUING POLITICAL IMPASSE IN BURUNDI, THE SUMMIT APPOINTED H.E. YOWERI KAGUTA MUSEVENI, PRESIDENT OF THE REPUBLIC OF UGANDA TO FACILITATE DIALOGUE AT THE HIGHEST LEVEL, AMONG THE PARTIES IN BURUNDI WITH A VIEW TO FINDING SOLUTIONS TO ALL CONTENTIOUS ISSUES.

5.    THE SUMMIT ALSO TOOK THE FOLLOWING DECISIONS:

A.    THE PRESIDENTIAL ELECTIONS CURRENTLY SCHEDULED FOR THE 15 JULY, 2015 SHOULD BE POSTPONED TO JULY 30TH 2015 TO ALLOW TIME FOR THE FACILITATOR TO LEAD THE DIALOGUE.

B.    WHOEVER WINS THE PRESIDENTIAL ELECTIONS IN BURUNDI SHOULD FORM A GOVERNMENT OF NATIONAL UNITY INVOLVING THOSE WHO PARTICIPATED IN ELECTIONS AND THOSE WHO DID NOT; AND SHOULD AS NECESSARY PROVIDE SEATS FOR SPECIAL INTEREST GROUPS.

C.    WHICHEVER POLITICAL PARTY WINS THE PRESIDENTIAL ELECTIONS AND ALL OTHER POLITICAL PARTIES COMMIT TO UPHOLD THE ARUSHA PEACE AND RECONCILIATION AGREEMENT AND COMMIT NOT TO AMEND THE CONSTITUTION OF BURUNDI IN RESPECT TO TERM LIMITS AND OTHER FUNDAMENTAL PRINCIPLES ENSHRINED IN THE ARUSHA AGREEMENT.

D.    THE EAC TO SEND AN ELECTORAL OBSERVER MISSION TO OBSERVE THE PRESIDENTIAL ELECTIONS IN THE REPUBLIC OF BURUNDI.

E.    THE GOVERNMENT OF BURUNDI TO DISARM IMBONERAKURE AND OTHER ARMED YOUTH GROUPS ALLIED TO POLITICAL PARTIES.

F.    THE AU SHOULD URGENTLY DEPLOY MILITARY OBSERVERS TO OVERSEE THE DISARMAMENT PROCESS.

G.    THE EXTENDED JOINT VERIFICATION MECHANISM AND THE JOINT INTELLIGENCE FUSION CENTRE OF THE ICGLR SHOULD URGENTLY DEPLOY TO BURUNDI TO VERIFY ALLEGATIONS OF THE PRESENCE OF FDLR IN THE COUNTRY.

H.    THE AU IS URGENTLY REQUESTED TO CONSIDER AND ENDORSE THESE DECISIONS.

6.    THE SUMMIT CALLED UPON AFRICAN UNION, THE UNITED NATIONS AND ALL OTHER PARTNERS TO COOPERATE WITH THE EAC TOWARDS THE ATTAINMENT OF THESE DECISIONS.

7.    ON BEHALF OF ATTENDEES OF THE SUMMIT, H.E. PRESIDENT YOWERI KAGUTA MUSEVENI OF THE REPUBLIC OF UGANDA THANKED H.E. PRESIDENT JAKAYA MRISHO KIKWETE OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA FOR THE WARM AND CORDIAL HOSPITALITY EXTENDED TO THEM AND THEIR RESPECTIVE DELEGATIONS DURING THEIR STAY IN TANZANIA.

DONE AT DAR ES SALAAM ON THIS 6TH DAY OF JULY, 2015.


EAC SECRETARIAT
ARUSHA, TANZANIA
JULY, 2015

Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Bibi Robi E. Bwiru (wapili kulia) akifafanua jambo kwa mwananchi aliyembelea banda la Wizara katika maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yaliyofanyika kwenye Viwanja vya Mnazi mmoja Jijini Dar es Salaam

HABARI KATIKA PICHA JUU YA MATUKIO MBALIMBALI YALIYOJILI KWENYE MAONESHO YA SABASABA NA MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

Mkurugenzi wa Idara ya Biashara, Uwekezaji na Sekta za Uzalishaji Bw. Geoffrey Mwambe (mwenye fulana nyeupe)akizungumza na wajasiriamali toka Kenya alipotembelea banda lao kwenye maonesho ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba Jijini Dar 04/07/2015.
Rais Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Pili Mhe. Alhaj Ali Hassan Mwinyi (kushoto) na Naibu Katibu Mkuu Bw. Amantius C. Msole wakifurahia jambo siku ya kilele cha wiki ya utumishi wa Umma katika viwanja vya Mnazi mmoja Dsm 23/06/02015.
 Watumishi Wizara wakiwa katika Picha ya Pamoja kwenye banda la Wizara tayari kwa kutoa elimu kwa umma juu ya masuala mbalimbali ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki katika maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yaliyofanyika Viwanja vya Mnazi mmoja Dar es Salaam.
Mwananchi akiomba ufafanuzi wa jambo kutoka kwa Maafisa wa Wizara kwenye maadhimisho ya Wiki ya Utumishi  wa Umma iliyo adhimishwa katika Viwanja vya Mnazi mmoja Jijini Dar es Salaam.
Afisa wa Wizara Bw. Amedeus Mzee (wapili kushoto) akifafanua jambo kwa mwananchi aliyetembelea banda la Wizara kwenye Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma katika Viwanja vya Mnazi mmoja Jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Idara ya Biashara, Uwekezaji na Sekta za Uzalishaji Bw. Godffrey Mwambe (kulia) akifafanua kwa mwandishi wa habari aliyetembelea banda la Wizara kwenye Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma katika Viwanja vya Mnazimmoja Jijini Dar es Salaam
Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Miundombinu ya Kiuchumi na Huduma za Kijamii Bw. Eliabi Chodota (katikati) akifafanua jambo kwa mwandishi wa habari aliyetembelea banda la Wizara kwenye Wiki ya Maadhimisho ya Utumishi wa Umma iliyoadhimishwa kwenye Viwanja vya Mnazimmoja Jijini Dar es Salaam
Mhe. Balozi Chiravi Ali Mwakwere anayeiwakilisha Kenya Nchini Tanzania akisaini Kitabu cha wageni alipotembelea banda la Wizara katika maonesho ya Kimataifa ya 39 ya Biashara Sabasaba alipotembelea banda hilo Jijini Dar es Salaam 01/07/2015.
Mkurugenzi wa Idara ya Biashara, Uwekezaji na Sekta za Uzalishaji Bw. Geoffrey Mwambe (katika) akiangalia bidhaa za mfanyabiashara toka Burundi alipotembelea banda la Mjasiriamali huyo kwenye maonesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba Dsm 04/07/2015.
Mkurugenzi wa Idara ya Biashara, Uwekezaji na Sekta za Uzalishaji Bw. Geoffrey Mwambe (kushoto) akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la Baraza la Kukuza Mauzo ya Nje la Kenya (Export Promotion Council) kwenye maonesho ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba Dsm 04/07/2015. Kulia ni Meneja wa Taarifa za Biashara na Huduma wa Baraza hilo
Bw. Charles Tumbo 04/07/2015.

Wananchi wakiwa wamekusanyika kwa wingi kwenye banda la Wizara lililopo kwenye Maonesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba ili kupata ufafanuzi wa masuala mbalimbali ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki kutoka kwa maafisa wa Wizara 06/07/2015

Wananchi wakiwa wamekusanyika kwa wingi kwenye banda la Wizara lililopo kwenye Maonesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba ili kupata ufafanuzi wa masuala mbalimbali ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki kutoka kwa maafisa wa Wizara 06/07/2015
Naibu katibu Mkuu Bw. Amantius C. Msole akiwa kwenye banda la Wizara katika Maonesho ya Kimataifa ya 39 ya Biashara Sabasaba alipo tembelea banda hilo Jijini Dar es Salaam 01/07/2015.

Wananchi wakiwa wamekusanyika kwenye Banda la Wizara kupata ufafanuzi wa masuala mbalimbali ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki kutoka kwa Maafisa wa Wizara waliopo katika banda la Wizara kwenye Maonesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa  Sabasaba yanayoendelea katika Viwanja vya Sabasaba Jijini Dar es Salaam 06/07/2015.
Wananchi wakiwa wamekusanyika kwenye Banda la Wizara kupata ufafanuzi wa masuala mbalimbali ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki kutoka kwa Maafisa wa Wizara waliopo katika banda la Wizara kwenye Maonesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa  Sabasaba yanayoendelea katika Viwanja vya Sabasaba Jijini Dar es Salaam 06/07/2015.
Mkurugenzi wa Idara ya Biashara, Uwekezaji na Sekta za Uzalishaji Bw. Geoffrey Mwambe (kushoto) akisaini kitabu cha wageni alipotembelea Banda la Kenya  la Baraza la kukuza Mauzo ya Nje (Export Promotion Council) lililopo kwenye Maonesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba Jijini Dar es Salaam, Kulia ni Meneja wa Baraza hilo Bw. Charles Tumbo 4/07/2015.
Mkurugenzi wa Idara ya Biashara, Uwekezaji na Sekta za Uzalishaji Bw. Geoffrey Mwambe (aliyevalia fulana nyeupe) akizungumza na Wafanyabiashara toka Kenya waliokuja kushiriki katika Maonesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba yanayoendelea Jijini Dar es Salaam 04/07/2015
Rais Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Pili Mhe. Alhaj Ali Hassan Mwinyi (kushoto) na Naibu Katibu Mkuu Bw. Amentius Msole wakifurahia jambo siku ya kilele cha Wiki ya Utumishi wa Umma katika viwanja vya Mnazimmoja Dar es Salaam23/06/02015. Mhe. Rais Mstaafu alikuwa mgeni rasmi katika Maadhimisho hayo.
Rais Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Pili Mhe. Alhaj Ali Hassan Mwinyi (kushoto) na Naibu Katibu Mkuu Bw. Amentius Msole wakiwa tayari  kutoa tuzo kwa washiriki walioshinda tuzo mbalimbali katika maadhimisho ya Kilele cha Wiki ya Utumishi wa Umma yaliyofanyika kwenye Viwanja vya Mnazimmoja Jijini Dar es Salaam 23/06/2015.
Naibu Katibu Mkuu alipotembelea banda la Wizara siku ya ufunguzi wa Maonesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa ya Sabasaba Jijini Dar es Salaam 03/07/2015.
Mhe. Balozi Chiravi Ali Mwakwere anayeiwakilisha Kenya Nchini Tanzania akisaini Kitabu cha wageni alipotembelea banda la Wizara katika Maonesho ya 39 ya Biashara  ya Kimataifa Sabasaba Jijini Dar es Salaam 01/07/2015.
Mkurugenzi wa Idara ya Biashara, Uwekezaji na Sekta za Uzalishaji Bw. Godffrey Mwambe (katika) akiangalia bidhaa za mfanyabiashara toka Burundi alipotembelea banda lake kwenye Maonesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba yanayoendelea katika Viwanja vya Sabasaba Jijini Dar es Salaam 04/07/2015.
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Miundombinu ya Kiuchumi na Huduma za Kijamii Bw. Eliabi Chodota (katikati) akifafanua jambo kwa mwandishi wa habari alipotembelea banda la Wizara kwenye Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yaliyofanyika katika Viwanja vya Mnazimmoja Jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Idara ya Biashara, Uwekezaji na Sekta za Uzalishaji Bw. Geoffrey Mwambe (kulia) akifafanua jambo kwa mwandishi wa habari aliyetembelea banda la Wizara kwenye Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yaliyofanyika katika Viwanja vya Mnazimmoja Jijini Dar es Salaam.
Watumishi wa Wizara wakimsikiliza mwananchi aliyetembelea banda la Wizara kwenye Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yaliyofanyika katika Viwanja vya Mnazimmoja Jijini Dar es Salaam.
Watumishi wa Wizara wakiwa katika Picha ya pamoja kwenye banda la Wizara katika Wiki ya Maadhimisho ya Utumishi wa Umma tayari kwa kutoa elimu kwa Umma  juu ya Masuala mbalimbali ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki. Maadhimisho hayo yalifanyika katika Viwanja vya Mnazimmoja Jijini Dar es Salaam 
Watumishi wa Wizara wakimsikiliza mwananchi aliyetembelea banda la Wizara kwenye Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yaliyofanyika katika Viwanja vya Mnazimmoja Jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Bibi. Robi E. Bwiru akifafanua jambo kwa mwananchi aliyetembelea banda la Wizara kwenye Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yaliyofanyika katika Viwanja vya Mnazimmoja Jijini Dar es Salaam.


Friday 3 July 2015

Maafisa wa Wizara wakiwa kwenye banda la Wizara katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma tayari kwa kutoa elimu kwa Umma juu ya Masuala mbalimbali ya Jumuiya ya Afrika Mshariki katika Viwanja vya Mnazimmoja Jijini Dar es Salaam 18/06/2015.