Wednesday 30 December 2015

MAONESHO YA 16 YA JUAKALI/NGUVUKAZI YALIYOFANYIKA MNAZIMMOJA DAR, NOVEMBER30 - DICEMBER 6, 2015

Katibu Mkuu Bibi Joyce Mapunjo akiongea na wajasiriamali wakati wa maonesho ya Juakali/Nguvukazi 
Mjasiriamali anayezalisha bidhaa za ngozi kutoka Nchini Rwanda (kulia) akitoa maelezo ya bidhaa zake kwa Afisa sheria Bw. Beatus Kalumuna (kushoto) katika maonesho ya 16 ya Juakali/Nguvukazi yaliyofanyika viwanja vya mnazimmoja Jijini Dar 4/12/2015.
Katibu Mkuu Bibi Joyce Mapunjo akisaini kitabu cha wageni alipotembelea Banda la Sekretariati ya Jumuiya ya Afrika Mashariki kwenye maonesho ya 16 ya Juakali/Nguvukazi yaliyofanyika viwanja vya Mnazimmoja Jijini Dar 2/12/2015
Mkurugenzi Msaidizi wa Biashara, Uwekezaji na Sekta za Uzalishaji Bw. Bernard Haule (kulia) Mkurugenzi Msaidizi wa Siasa, Ulinzi, na Usalama Bw. Amani Mwatonoka (kushoto) wakipewa maelezo kutoka kwa Afisa Biashara wa Wizara Bibi Vivian Rutaihwa walipotembelea banda la Tanzania kwenye maonesho ya 16 ya Juakali/Nguvukazi yaliyofanyika viwanja vya mnazimmoja Jijini Dar 1/012/2015.
Wajasiriamali wakiwa katika banda la maonesho ya bidhaa katika maonesho ya 16 ya Juakali/Nguvukazi yaliyofanyika mnazimmo jijini Dar es Salaam kuanzia tarehe 30 Novemba hadi 6 Disemba 2015
Wajasiriamali wakiwa katika banda la maonesho ya bidhaa katika maonesho ya 16 ya Juakali/Nguvukazi yaliyofanyika mnazimmo jijini Dar es Salaam kuanzia tarehe 30 Novemba hadi 6 Disemba 2015
Bidhaa mbalimbali za wajasiriamali zikiwa kwenye mabanda ya maonesho ya Juakali/Nguvukazi yaliyofanyika kwenye uwanja wa Mnazimmoja Jijini Dar es Salaam.
Wajasiriamali wakiwa katika banda la maonesho ya bidhaa katika maonesho ya 16 ya Juakali/Nguvukazi yaliyofanyika mnazimmo jijini Dar es Salaam kuanzia tarehe 30 Novemba hadi 6 Disemba 2015.
Wananchi wakiangalia mashine ya kusaga vyakula vya mifugo na nafaka iliyobuniwa na mjasiriamali katika maonesho ya 16 ya Juakali/Nguvukazi yaliyofanyika viwanja vya Mnazimmoja jijini Dar 2/12/2015.