Monday 15 December 2014


Mh. Waziri Samuel Sitta (katikati) akipongezwa na Katibu Mkuu Bi. Joyce Mapunjo (kushoto) na Mkurugenzi Msaidizi wa Utawala na Raslimali Watu Bi. Vedastina Justinian (kulia) baada ya kutunukiwa Nishani ya Daraja la pili ya Muungano na Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika sherehe za Uhuru zilizofanyika Viwanja vya Ikulu Jijini Dar-es-Salaam 9/12/2014.








Mh. Waziri Samuel Sitta (katikati) akipongezwa na Katibu Mkuu Bi. Joyce Mapunjo (kushoto) na Mkurugenzi Msaidizi wa Utawala na Raslimali Watu Bi. Vedastina Justinian (kulia) baada ya kutunukiwa Nishani ya Daraja la pili ya Muungano na Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika sherehe za Uhuru zilizofanyika Viwanja vya Ikulu Jijini Dar-es-Salaam 9/12/2014.




Mh. Waziri Samuel Sitta akiwa katika Picha ya pamoja  na Mh. Rais Dk. Mrisho Jakaya Kikwete baada ya kutunukiwa Nishani ya Daraja la Pili ya Muungano wengine ni Viongozi wa Serikali, Viongozi Wastaafu, na Wengine waliotunukiwa Nishani hiyo katika Sherehe ya Uhuru iliyofanyika Ikulu Jijini Dar-es-Salaam 9/12/2014.