JUMUIYA IMARA BLOG Karibu kwenye Blog ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.Blog hii ipo kwa ajili ya kukuletea habari motomoto kuhusu masuala ya Mtangamano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Thursday, 2 April 2015
Mkurugenzi
Msaidizi Idara ya Siasa, Ulinzi na Usalama Bw. Amani Mwatonoka (wa kwanza
kushoto) akizungumza na Ujumbe kutoka Chuo cha Kijeshi cha Nchini Nigeria ulipoitembelea
Wizara 01/04/2015.
Kaimu
Mkurugenzi Idara ya Uwekezaji, Biashara na Sekta za Uzalishaji Bw. Bernard
Haule (kushoto) akizungumza na Ujumbe kutoka Chuo cha Kijeshi cha Nchini
Nigeria (hawapo pichani) ulipoitembelea Wizara 01/04/2015.
Mkurugenzi
Msaidizi Idara ya Miundombinu ya Kiuchumi na Huduma za Kijamii Bw. Eliabi
Chodota akizungumza na Ujumbe kutoka Chuo cha Kijeshi cha Nchini Nigeria
(hawapo pichani) ulipoitembelea Wizara 01/04/2015.
Mkurugenzi
Msaidizi Idara ya Siasa, Ulinzi na Usalama Dr. Franklin Rwezimula (kulia) akikabidhiwa
nembo ya Chuo cha Kijeshi cha Nchini Nigeria na Kiongozi wa Ujumbe kutoka chuo
hicho Brigadia Generali Mo Jimoh (kushoto) ulipoitembelea Wizara 01/04/2015.
Mkurugenzi
wa Idara ya Miundombinu ya Kiuchumi na Huduma za Kijamii Bw. George Lauo
(kulia) akifafanua jambo kwa Kiongozi wa Ujumbe kutoka Chuo cha kijeshi cha
Nchini Nigeria Brigadia Generali Mo Jimoh (kushoto) walipoitembelea Wizara
01/04/2015.
Mkurugenzi wa Idara ya Miundombinu ya Kiuchumi
na Huduma za Kijamii Bw. George Lauo (kushoto) akizungumza na Ujumbe kutoka
Chuo cha Kijeshi cha Nchini Nigeria (hawapo pichani) walipoitembelea Wizara
01/04/2015. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Siasa, Ulinzi na Usalama Dkt.
Franklin Rwezimula.
Wakurugenzi
wa Idara wakiwa katika picha ya pamoja na ujumbe kutoka Chuo cha kijeshi cha
Nchini Nigeria walipoitembelea Wizara wakiongozwa na Brigadia Generali Mo Jimoh
(Watatu kulia mstari wa mbele) kiongozi wa ujumbe huo 01/04/2015.