Wednesday 15 June 2016

Katibu Mkuu Balozi Dkt. Aziz P. Mlima ( wa nne kutoka kulia waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Balozi Liberat Mfumukeko anayefuata kushoto kwake, Makatibu Wakuu kutoka Wizara zinazosimamia masuala ya Jumuiya ya Afrika Mashariki pamoja na wataalam kutoka Sekretariati ya Jumuiya ya Afrika Mashariki katika kikao cha Retreaty ya Makatibu Wakuu unaoendelea Mjini Moshi.

No comments:

Post a Comment