Friday 15 August 2014

UFUNGUZI NA UZINDUZI WA MAONYESHO YA WAJASILIA MALI NA KIWANDA CHA SMOKE HOUSE STORE LIMITED MJINI BAGAMOYO

Katibu Mkuu wa Wizara ya ushirikiano wa Afrika Mashariki Bi Joyce Mapunjo akihutubia Wajasilia Mali wadogo mjini Bagamoyo wakati wa Ufunguzi wa Maonesho hayo yaliyoanza tarehe 14/8/2014.


Katibu Mkuu Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki (kulia) Bi Joyce Mapunjo akitembelea moja ya banda la mjasiliamali katika maonyesho ya wajasilia mali  mjini Bagamoyo mara baada ya kufungua maonesho hayo.
                                                                      

                                                                             
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bi Joyce Mapunjo akikata utepe kufungua kiwanda cha  kusindika Mvinyo utokanao na mmea wa Rozera  cha SMOKE HOUSE STORE LIMITED kinacho milikiwa na Bi Teddy Devis kilichopo Mkoa wa Pwani Wilaya ya Bagamoyo. 



Katibu Mkuu Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Ndugu Bi. Joyce Mapunjo akipewa maelekezo na mmoja wa wajasilia mali alipo tembelea banda hilo.                                                                       


No comments:

Post a Comment