Tuesday 22 September 2015

Katibu Mkuu Wizara ya Maji Mhandisi Mbogo Futakamba (kushoto) na Waziri wa Wizara ya Maji kutoka Nchini Kenya Mhe. Eugine Wamarwa (kulia) wakisaini Mkataba wa Makubaliano ya kuhifadhi Bonde la Mto Mara kwenye Maadhimisho ya Mara Day 15/09/2015, yaliyofanyika katika Uwanja wa Mwenge mjini Butiama. Maonesho haya yanayolenga kuhamasisha uhifadhi wa Bonde la Mto Mara kwa wananchi wa Tanzania na Kenya yameadhimishwa kwa mara ya tatu mwaka huu tangu yaanzishwe mwaka 2012.
Katibu Mkuu Bibi Joyce Mapunjo akizungumza na wananchi (hawapo pichani) waliojitokeza kwenye maadhimisho ya Mara Day yaliyofanyika Butiama katika uwanya wa Mwenge15/09/2015
Katibu Mkuu Bibi Joyce Mapunjo akizungumza na wananchi (hawapo pichani) waliojitokeza kwenye maadhimisho ya Mara Day yaliyofanyika Butiama katika uwanya wa Mwenge15/09/2015.
Wananchi wakiwa wamebeba bango la kuhamasisha utunzaji wa Bonde la Mto Mara siku ya Maadhimisho ya Mara Day yaliyofanyika Wilaya ya Butiama Mkoani Mara 15/09/2015.
Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Mohamed Gharib Bilal (wakwanza kushoto), Katibu Mkuu Bibi Joyce Mapunjo (wakwanza kulia) na Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Luten Mstaafu Aseri Msangi (katikati) wakiwasalimia wananchi waliojitokeza kwenye maadhimisho ya Mara Day15/09/2015
Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Mohamed Gharib Bilal (kushoto) akikabithiwa machapisho yenye ujumbe mbalimbali kuhusu masuala ya Jumuiya na Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Miundombinu ya Kiuchumi na Huduma za Kijamii Bw. Eliabi Chodota (kulia) tar. 15/09/2015

No comments:

Post a Comment