Thursday 19 March 2015

(Kulia-Kushoto) Ni Kamishna wa bajeti Wizara ya Fedha Bw. John Cheyo, Bw. Jacob Focus kutoka Tume ya Mipango, Kaimu Mkurugenzi Idara Sera na Mipango Bw. Petrol Lyatuu, Mkurugenzi Idara ya Siasa, Ulinzi na Usalama Bw. Steven Mbundi , na Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Sera na Mipango Bw. Oswald Kyamani wakiwa kwenye  Kikao cha Kuchambua bajeti ya Wizara kilichofanyika katika Ofisi ndogo za Bunge Jijini Dar-es-Salaam 18/03/2015.

No comments:

Post a Comment