Thursday 26 March 2015

Mhe. Waziri Dkt. Harrison Mwakyembe (kulia) akifafanua jambo kwa Waandishi wa Habari mara baada ya kufungua Semina ya Majaji na Mawakili ya umuhimu wa Mahakama ya Jumuiya ya Afrika Mashariki katika usimamizi wa Haki Serena Hotel Dar 25/03/2015.
Mhe. Waziri Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati), Mkuu wa Taasisi ya Raoul Wellenberg Ofisi ya Kenya Bw. Josh Ounsted (Kulia) na Jaji Kiongozi wa Mahakama ya Jumuiya ya Afrika Mashariki wakiwa kwenye Semina ya Majaji na Mawakili Serena Hotel Dar 25/03/2015. 
Mhe. Waziri Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Jaji Kiongozi wa Mahakama ya Jumuiya ya Afrika Mashariki Mhe. Justice DR. Emmanuel Ugirashebuja (kulia) mara baada ya kufungua Semina ya Majaji na Mawakili Jijini Dar 25/03/2015.
Mhe. Waziri Dkt. Harrison Mwakyembe akitoa Hotuba ya ufunguzi kwa Wajumbe (hawapo pichani) kwenye Semina ya Majaji na Mawakili ya umuhimu wa Mahakama ya Jumuiya ya Afrika Mashariki katika usimamizi na utoaji wa Haki iliyofanyika Serena Hotel Dar 25/03/2015.

Mhe. Waziri Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati ya walioketi) akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe waliohudhuria Semina ya Majiji na Mawakili ya umuhimu wa Mahakama ya Jumuiya ya Afrika Mashariki katika usimamizi na utoaji wa Haki iliyofanyika Serena Hotel Dar 25/03/2015. Semina hii ya Siku mbili 25-26 Machi, 2015 imeanza jana.

                                                        
                                                                                                                    
                                                           



No comments:

Post a Comment