Monday 10 August 2015

HABARI KATIKA PICHA ZA MATUKIO YALIYOJILI KWENYE MAONESHO YA KITAIFA YA NANENANE

Taswira ya Banda la Wizara lililotumika kutoa elimu kwa umma kwenye maonesho ya Nanenane.Maonesho hayo mwaka huu Kitaifa yamefanyika Mkoani Lindi kuanzia tarehe 1-8/08/2015
Taswira ya Banda la Wizara lililotumika kutoa elimu kwa umma kwenye maonesho ya Nanenane.Maonesho hayo mwaka huu Kitaifa yamefanyika Mkoani Lindi kuanzia tarehe 1-8/08/2015
Watumishi wa Wizara wakiwa kwenye banda la Wizara siku ya ufunguzi wa maonesho ya Nanenane tayari kwa kutoa elimu kwa umma Mkoani Lindi Tarehe 01/08/2015.
Naibu Katibu Mkuu Bw. Amantius Msole akizungumza na mmoja wa Maafisa wa Wizara alipotembelea banda lililotumika kutoa elimu kwa umma kwenye Maonesho ya Kilimo maarufu Nanenane yaliyofanyika Mkoani Lindi 01/08/2015.
Naibu Katibu Mkuu Bw. Amantius Msole akizungumza na Maafisa wa Wizara alipotembelea banda lililotumika kutoa elimu kwa umma kwenye Maonesho ya Kilimo maarufu Nanenane 01/08/2015.
Naibu Katibu Mkuu Bw. Amantius Msole (katikati aliyevalia tai) akiwa kwenye sherehe ya ufunguzi wa Maonesho ya Nanenane yaliyofanyika Kitaifa Mkoani Lindi 01/08/2015.

No comments:

Post a Comment