Wednesday 18 November 2015

MKUTANO WA KUWASILISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI INAYOFADHILIWA NA TMEA

Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Bibi Robi Bwiru akiwasilisha taarifa ya utekelezaji kwenye Mkutano wa 17 wa kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Miradi inayofadhiliwa na TMEA uliofanyika Hoteli ya Serena Jijini Dar 17/11/2015.
Mkurugenzi wa Sera na Mipango Bw. Petro Lyatuu (kulia) akitoa taarifa kwenye Mkutano wa 17 wa wadau wa kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Miradi inayofadhiliwa na Shirika la TradeMark East Afrika uliofanyika Hoteli ya Serena Jijini Dar 17/11/2015.
Baadhi ya Wajumbe wakifuatilia kwa makini Mkutano wa 17 wa wadau wa kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Miradi ya Jumuiya ya Afrika Mashariki inayofadhiliwa na Shirika la TradeMark East Afrika uliofanyika Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam 17/11/2015.
Katibu Mkuu Bibi Joyce Mapunjo (kushoto) akifafanua jambo kwa Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la TradeMark East Afrika (TMEA) Dkt. Josaphat Kweka kwenye Mkutano wa 17 wa kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Miradi ya Jumuiya ya Afrika Mashariki inayofadhiliwa na TMEA 17/11/2015.
Mkurugenzi Msaidizi wa Miundombinu Bw. Abdillah Mataka (wa kwanza kushoto) akielezea jambo kwenye Mkutano wa 17 wa kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Miradi ya Jumuiya ya Afrika Mashariki inayofadhiliwa na TMEA 17/11/2015
Katibu Mkuu Bibi Joyce Mapunjo (kushoto) akifafanua jambo kwa Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la TradeMark East Afrika (TMEA) Dkt. Josaphat Kweka kwenye Mkutano wa 17 wa kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Miradi ya Jumuiya ya Afrika Mashariki inayofadhiliwa na TMEA 17/11/2015.
Katibu Mkuu Bibi Joyce Mapunjo akifafanua jambo kwa awadau wa kwenye Mkutano wa 17 wa kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Miradi ya Jumuiya ya Afrika Mashariki inayofadhiliwa na Shirika la TMEA uliofanyika Hoteli ya Serena Jijini Dar es salaam 17/11/2015.
Mkurugenzi wa Sera na Mipango Bw. Petro Lyatuu (katikati), Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Bibi Robi Bwiru (kushoto), Mtaalamu Mshauri wa masuala ya M&E Bw. Michael Abila (kulia) wakifuatilia jambo wakati wa Mkutano wa kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Miradi inayofadhiliwa na Shirika la TradeMark East Afrika uliofanyika Hoteli ya Serena Jijini Dar 17/11/2015.
Katibu Mkuu Bibi Joyce Mapunjo (kushoto) akimsikiliza Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la TradeMark East Afrika (TMEA) Dkt. Josaphat Kweka kwenye Mkutano wa 17 wa wadau wa kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Miradi ya Jumuiya ya Afrika Mashariki inayofadhiliwa na TMEA Nchini 17/11/2015.
Baadhi ya Wajumbe wakifuatilia jambo kwenye Mkutano wa 17 wa kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Miradi ya Jumuiya ya Afrika Mashariki inayofadhiliwa na Shirika la TradeMark East Afrika uliofanyika Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam 17/11/2015.
Katibu Mkuu Bibi Joyce Mapunjo akifungua Mkutano wa 17 wa kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa miradi inayofadhiliwa na Shirika la TradeMark East Afrika uliofanyika katika Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam 17/11/2015.
Katibu Mkuu Bibi Joyce Mapunjo (katikati) akifurahia jambo wakati akiwakaribisha wajumbe (hawapo pichani) kwenye Mkutano wa 17 wa kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Miradi inayofadhiliwa na Shirika la TradeMark East Afrika uliofanyika Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la TradeMark East Afrika Dkt. Josaphat Kweka.




No comments:

Post a Comment