Friday 30 October 2015

MKUTANO WA MAANDALIZI YA MAONESHO YA JUAKALI/NGUVUKAZI

Wajumbe wa Kamati ya maandalizi ya Maonesho ya Juakali/Nguvukazi wakiwa katika mkutano wa maandalizi kwa njia ya Video 'Video conference' katika ukumbi wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki. kutoka kulia ni Bi. Vivian Rutaihwa- Afisa Biashara(MEAC), anayefuata ni Bw. Josephat Rweymamu Mwenyekiti wa CISO, Bw. Joseph Nganga- Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Kazi na Ajira, Bw. Ally M. Ahmed-Mkurugenzi Idara ya Kazi na Ajira na Mwisho ni Bw. Juvenal Lema - Mchumi Mwandamizi (MEAC)

No comments:

Post a Comment