Thursday 15 January 2015

Wajumbe kutoka Kenya wakiwa katika picha ya pamoja na Wataalam wa Wizara mara baada ya Mkutano wakujadili Masuala mbalimbali yanayohusu Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa upande wa Tanzania na Kenya uliofanyika Hotel ya Ledger Jijini Dsm Tarehe 14/1/2015.

No comments:

Post a Comment