Monday 19 January 2015

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara Bw. Amantius C. Msole akiwa katika Mkutano wa kuwasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Majukumu ya Wizara kwa Kipindi cha Julai – Desemba, 2014 kwa Kamati ya Bunge kwenye Mkutano uliofanyika katika Ofisi ndogo za Bunge Jijini Dsm
Waziri Mh. Samuel Sitta (kulia) akisikiliza maoni ya mjumbe (hayumo pichani) wakati wa uwasilishwaji wa Taarifa ya Utekelezaji wa Majukumu ya Wizara kwa kipindi cha Julai – Desemba, 2014 kwa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa 16/1/2015.

Waziri Mh. Samuel Sitta (kulia) akiwa na Naibu Waziri Mh. Dk. Abdulla .J. Saadalla (Kushoto) wakati akisisitiza jambo kwenye Mkutano wa kuwasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Majukumu ya Wizara kwa kipindi cha Julai - Disemba, 2014 kwa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa katika Ofisi ndogo za Bunge zilizopo Jijini Dar-es-Salaam Tarehe 16/1/2015

Waziri Mh. Samuel Sitta (kulia) akiwasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Majukumu ya Wizara kwa kipindi cha Julai – Desemba, 2014 kwa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Tarehe 16/1/2015.


No comments:

Post a Comment