Wednesday 25 February 2015

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (wapili kushoto) wengine (kushoto kwake) ni Mkurugenzi Idara ya Utawala na Usimamizi Rasilimali Watu Bi. Mary Fidelis, Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Sera na Mipango Bi. Graceana Shirima, Mkuu wa Kitengo cha Ununuzi na Ugavi Bi. Asina Kisinzah na  Mkurugenzi Msaidizi  Idara ya Miundombinu ya Kiuchumi na Huduma za Kijamii Bw. Eliabi K. Chodata wakipata maelezo kutoka kwa Mtaalam  Bw. Salum Mohamed Nalolah kuhusu Mfumo wakufanya Mikutano kwa Njia Video unavyofanya Kazi.

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (katikati), Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Usimamizi Rasilimali Watu Bi. Mary Fidelis (kulia) wakipata maelezo kutoka kwa Mtaalam Bw. Salum Mohamed kuhusu namna ya mfumo wa kufanya  Mikutano kwa Njia ya Video unavyofanya kazi.


Waziri Wizara ya Sayansi na Teknologia Mhe. Prof. Makame Mbalawa (kulia) akiwa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (kushoto) siku ya uzinduzi wa Mfumo wa kufanya mikutano kwa njia ya Video

Waziri wa Wizara ya Sayansi na Teknologia Mhe. Prof. Makame Mbarawa 
(kulia)Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (katikati), na Mkurugenzi wa
 Idara ya Utawala na Usimamizi Rasilimali Watu Bi. Mary Fidelis wakiwa katika uzinduzi wa mfumo wa kufanya Mikutano kwa njia ya Video.

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akisaini kitabu cha wageni alipohudhuria uzinduzi wa Mfumo wa  kufanya Mikutano kwa Njia ya Video, uliofanyika Wizarani Dar-es-Salaam Februari 20, 2015.

No comments:

Post a Comment