Wednesday 25 February 2015

Mhe. Waziri Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto), Katibu Mkuu Bi. Joyce Mapunjo (kulia) wakiwa katika Mkutano na Waandishi wa habari (hawapo pichani) uliofanyika Wizarani 22/02/2015
Waziri Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (watatu kushoto kati ya walioketi) kushoto kwake ni Katibu Mkuu Bi. Joyce Mapunjo wakiangalia namna Mfumo wa kufanya Mikutano kwa njia ya Video unavyofanya kazi wengine katika picha ni Watumishi wa Wizara na Waandishi wa Habari.
Mhe. Waziri Dkt. Harrison Mwakyembe akizungumza na waandishi wa habari wakati wa Mkutano na wandishi hao uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Wizara, uliopo jengo la Water Front Dar-es-Salaam 22/02/2015

Mhe. Waziri Dkt. Harrison Mwakyembe akisisitiza jambo wakati akihojiwa na waandishi wa habari mara baada ya Mkutano na waandishi hao 22/02/2015.




No comments:

Post a Comment