Tuesday 17 February 2015

(Mstari wa mbele Kushoto - Kulia) Ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Biashara, Uwekezaji na Sekta za Uzalishaji Dkt. Abdulla Makame, Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Miundombinu ya Kiuchumi na Huduma za Kijamii Eng. Abdillah Mataka, Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Zanzibar Bw. Salum Maulid Salum, Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Siasa, Ulinzi na Usalama Bw. Amani P. Mwatonoka wakiwa katika Picha ya Pamoja na Waandishi Wahabari kutoka Unguja na Pemba, Mjini Unguja 11 Februari, 2015.


Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Miundombinu ya Kiuchumi na Huduma za Kijamii Eng. Abdillah Mataka akiwasilisha Mada kwenye Warsha iliyoandaliwa na Wizara kwa Waandishi wa Habari wa Unguja na Pemba (hawapo pichani), Februari 2015.

Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Siasa, Ulinzi na Usalama Bw. Amani P. Mwatonoka akiwasilisha Mada kwenye Warsha iliyoandaliwa na Wizara kwa Waandishi wa Habari wa Unguja na Pemba (hawapo pichani), Februari 2015.

Mtaalam wa Mawasiliano wa Wizara Bw. Faraja Mgwabati akiwasilisha Mada  kwenye Warsha iliyoandaliwa na Wizara kwa Waandishi wa Habari wa Visiwa  vya Unguja na Pemba iliyofanyika Mjini Unguja 11 Februari, 2015.

Katibu Mkuu Bi. Joyce Mapunjo (mbele katikati), Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Ikulu Zanzibar Bw. Said A.S Natepe (wakwanza kulia) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Watumishi wa ZBC na Maafisa wa Wizara mbele ya Jengo la Kamisheni ya Kiswahili.

Katibu Mkuu wa Wizara Bi. Joyce Mapunjo akisaini kitabu cha Wageni kwenye Ofisi ya Wizara iliyopo Zanzibar alipotembelea Ofisi hiyo, Kulia ni Afisa wa Wizara Bw. Othuman Maalim Othuman Februari, 2015.

No comments:

Post a Comment