Thursday 2 April 2015

Mkurugenzi wa Idara ya Miundombinu ya Kiuchumi na Huduma za Kijamii Bw. George Lauo (kushoto) akizungumza na Ujumbe kutoka Chuo cha Kijeshi cha Nchini Nigeria (hawapo pichani) walipoitembelea Wizara 01/04/2015. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Siasa, Ulinzi na Usalama Dkt. Franklin Rwezimula.

No comments:

Post a Comment