Thursday 2 April 2015

Mkurugenzi wa Idara ya Miundombinu ya Kiuchumi na Huduma za Kijamii Bw. George Lauo (kulia) akifafanua jambo kwa Kiongozi wa Ujumbe kutoka Chuo cha kijeshi cha Nchini Nigeria Brigadia Generali Mo Jimoh (kushoto) walipoitembelea Wizara 01/04/2015.

No comments:

Post a Comment