Monday 4 May 2015

(Kulia-kushoto) Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Utawala na Usimamizi Rasilimali Watu Bi. Vedastina Justinian, Bi. Mamertha Josiah (Katibu Muhtasi) na Ponslaus Makua (Mhasibu) wakiwa kwenye maadhimisho ya sherehe ya siku ya Wafanyakazi Duniani yaliyofanyika Kitaifa  katika Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza 01/05/2015. Bi. Mamertha Josiah (katikati) alitunukiwa tuzo ya kuwa mfanyakazi bora wa Wizara 2014/2015.
1 Mei, kila mwaka ni siku ya maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi Duniani. Pichani ni Wafanyakazi wa Wizara walipojumuika na Wafanyakazi wengine kwenye maadhimisho ya sherehe hiyo iliyofanyika kimkoa katika uwanja wa Taifa Dsm 1 Mei, 2015.
Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Utawala na Usimamizi Rasimali Watu Bw. Hamid H. Mbegu (katikati msatari wa mbele) akiwa na Wafanyakazi wengine wa Wizara katika maandamano ya sherehe ya kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani iliyofanyika Kimkoa katika uwanja wa Taifa Dar-es-Salaam 01/05/2015
Watumishi wa Wizara wakiwa katika sherehe ya maadhimisho ya Sherehe ya Siku ya Wafanyakazi Duniani iliyofanyika kimkoa katika Uwanja wa Taifa Dar-es-Salaam Mei 1, 2015
Watumishi wa Wizara wakiwa katika hali ya furaha wakati wa maandamano ya kuadhimisha sherehe ya siku ya Wafanyakazi Duniani iliyofanyika kimkoa katika Uwanja wa Taifa Dsm 1 Mei, 2015.


1 Mei, kila mwaka ni siku ya maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi Duniani. Katika picha ni Wafanyakazi wa Wizara walipo jumuika na Wafanyakazi wengine kwenye maadhimisho ya sherehe hiyo iliyofanyika kimkoa katika uwanja wa Taifa Dar-es-Salaam 1 Mei, 2015.

No comments:

Post a Comment