Friday 29 May 2015

(Kulia–kushoto) Naibu katibu Mkuu  Bw. Amentius Msole, Mkurugenzi wa Idara ya Miundombinu ya Kiuchumi na Huduma za Kijamii Bw. George Lauwo na Mkurugenzi Mkazi wa TMEA Bw. Josaphati Kweka wakifuatilia uwasilishwaji wa hotuba ya bajeti Bungeni mjini Dodoma 29/05/2015

Katibu Mkuu Bi. Joyce Mapunjo (katikati) akifuatilia jambo wakati wa usilishwaji wa hotuba ya makadilio ya mapato na matumizi kwa Mwaka 2015/2016 Bungeni Mjini Dodoma leo 29/05/2015.

Waziri Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe akisoma hotuba ya Makadilio ya mapato na matumizi kwa Mwaka 2015/2015 Bungeni Mjini Dodoma leo 29/05/2015.

Waziri Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) na  Naibu Waziri Mhe. Dkt. Abdulla Saadala (kulia) wakifuatilia  kikao cha uwasilishwaji wa hotuba ya makadilio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2015/2016 Bungeni Jijini Dodoma 29/05/2015.

No comments:

Post a Comment