Friday 22 April 2016

MABALOZI WA JUMUIYA YA AFRIKA MASAHARIKI TANZANIA WATOA ELIMU YA MTANGAMANO

Mmoja wa mabolozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kutoka Vyuo Vikuu Tanzania Bw. Raphael Kamba (mwenye shati jekundu) akishikishana jambo na wanafunzi wenzake.
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wakichukua machapisho yenye ujumbe mbalimbali kuhusu Jumuiya ya Afrika Mashariki
Balozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Bi. Doreen Kato akitoa elimu kwa wanafunzi elimu kwa Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Wakwanza kushoto (aliyevalia shati jeusi) ni Afisa Uchumi kutoka Wizarani Bw. Godfrey Msonde 
Mabalozi wa Afrika Mashariki kutoka Vyuo vikuu vya Tanzania wakitoa elimu kwa Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam  

                    


No comments:

Post a Comment