Tuesday 27 October 2015

HAFLA YA KUWAPONGEZA NA KUWAKABIDHI VYETI WAFANYAKAZI BORA 22/10/2015

Katibu Mkuu Bibi Joyce Mapunjo (aliyesimama) akifuarahia jambo na wafanyakazi wa Wizara kwenye hafla ya kuwatunuku vyeti wafanyakazi bora iliyofanyika katika ukumbi mdogo wa mikutano wa Wizara uliopo katika Jengo la WaterFront Dar es Salaam 22/10/2015
   Katibu Mkuu Bibi Joyce Mapunjo (aliyesimama) akifuarahia jambo na wafanyakazi wa Wizara kwenye hafla ya kuwatunuku vyeti wafanyakazi bora iliyofanyika katika ukumbi mdogo wa mikutano wa Wizara uliopo katika Jengo la WaterFront Dar es Salaam 22/10/2015
Katibu Mkuu Bibi Joyce Mapunjo (kulia) akizungumza na watumishi wa baada ya kuwatunuku vyeti wafanyakazi bora
Naibu Katibu Mkuu Bw. Amantius Msole (kushoto aliyesimama) akizungumza na wafanyakazi (hawapo pichani) kwenye hafla ya kuwapongeza wafanyakazi bora iliyofanyika katika ukumbi mdogo wa mikutano wa Wizara katika Jengo la WaterFront Dar es Salaam 22/10/2015
Katibu Mkuu Bibi Joyce Mapunjo (kulia) akimpongeza Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Bibi Robi Bwiru (kushoto) baada ya kumtunuku cheti cha mfanyakazi bora. Tukio hili lilifanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Wizara, uliopo katika jingo la WaterFront Dar-es-Salaam 22/10/2015
Katibu Mkuu Bibi Joyce Mapunjo (kulia) akimpongeaza Mkurugenzi Msaidizi wa Sera na Mipango Bw. Oswald Kyamani baada ya kumtunuku cheti cha mfanyakazi bora. Tukio hili lilifanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Wizara, uliopo katika jengo la WaterFront Dar-es-Salaam 22/10/2015
Katibu Mkuu Bibi Joyce Mapunjo (kulia) akimpongeaza Mkurugenzi Msaidizi Rasilimali Watu Bw. Hamid Mbegu (kushoto) baada ya kumtunuku cheti cha mfanyakazi bora. Tukio hili lilifanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Wizara, uliopo katika jengo la WaterFront Dar-es-Salaam 22/10/2015
Katibu Mkuu Bibi Joyce Mapunjo (kulia) akimtunuku cheti cha mfanyakazi bora Mhasibu Bibi Neema Lemunge (kushoto) . Tukio hili lilifanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Wizara, uliopo jingo la WaterFront Dar-es-Salaa
    Katibu Mkuu Bibi Joyce Mapunjo (kulia) akimtunuku cheti cha mfanyakazi bora Afisa Rasilimaliwatu Mkuu Bibi Ester Masigo (kushoto) 22/10/2015
Katibu Mkuu Bibi Joyce Mapunjo (kulia) akimtunuku cheti cha mfanyakazi bora Mkurugenzi wa Sera na Mipango Bw. Petro Lyatuu (kushoto).Tukio hili lilifanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Wizara, uliopo jengo laWaterFront Dar-es-Salaam 22/10/2015
Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi Rasilimaliwatu Bibi Mary Fidelis (aliyesimama kulia) akimkaribisha Katibu Mkuu kwenye hafla ya kuwapongeza na kuwatunuku vyeti wafanyakazi bora. Tukio hili lilifanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Wizara, uliopo katika jengo la WaterFront Dar-es-Salaam 22/10/2015.
Katibu Mkuu Bibi Joyce Mapunjo akizungumza na wafanyakazi kabla ya kuanza kuwapongeza na kuwatunuku vyeti wafanyakazi bora. Tukio hili lilifanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Wizara, uliopo katika jingo laWaterFront Dar-es-Salaam 22/10/2015.
Katibu Mkuu Bibi Joyce Mapunjo akimtunuku Bibi Asha Kisumo cheti cha mfanyakazi bora 22/10/2015 





No comments:

Post a Comment