Monday 25 January 2016

KATIBU MKUU BALOZI DKT. AZIZ MLIMA AKUTANA NA KATIBU MKUU WA SEKRETARIATI YA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI

Kutokea kushoto ni Mkurugenzi wa Siasa, Ulinzi na Usalama Bw. Stephen Mbundi, Mhandisi John Kiswaga, na Bw. Antony Ishengoma (wakwanza kulia) wakifuatilia mazungumzo yaliyokuwa yakiendelea
Katibu Mkuu wa Sekretariati ya Jumuiya ya Afrika Mashariki Balozi Dkt. Richard Sezibera akifafanua jambo kwa Katibu Mkuu Balozi Dkt. Aziz Mlima.
Katibu Mkuu Balozi Dkt. Aziz Mlima (kulia) akifurahia jambo na Katibu Mkuu wa Sekretariati ya Jumuiya ya Afrika Mashariki Balozi Dkt. Richard Sezibera alipo mtembelea ofisini kwake Jijini Dar es Salaam.





No comments:

Post a Comment