Monday 25 January 2016

NAIBU WAZIRI MHE. SUZAN KOLIMBA AKUTANA NA SPIKA WA BUNGE LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI.

Naibu Waziri Mhe. Suzan Kolimba (kulia) akisalimiana na Spika wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki Mhe. Daniel Fred Kidega (kushoto) Jijini Arusha Januari 25, 2016.
Spika wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) Mhe. Daniel Fred Kidega (katikati) akizungumza na waandishi wa habari Jijini Arusha, wengine ni Mhe. Abdulla Mwinyi (kushoto -Mbunge kutoka Tanzania) na Mhe. Hafsa Mossy (kulia-Mbunge wa Burundi) 
Mhe. Naibu Waziri Dkt. Suzana Kolimba (aliyevalia vitenge) akimsikiliza mfanyakazi wa Bunge la Afrika Mashariki Bw. Asheri Wimile (kulia) alipoenda kumsalimia. Kushoto ni Mkurugenzi wa Sera na Mipango Bw. Petro Lyatuu.
Naibu Waziri Mhe. Suzan Kolimba (kulia) na Spika wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki Mhe. Daniel Fred Kidega (kushoto) wakifurahia jambo.
Naibu Waziri Mhe. Dkt. Suzan Kolimba (kulia) akiwa katika mazungumzo na Spika wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) Mhe. Daniel Fred Kidega (kushoto) Januari 25, 2016.






No comments:

Post a Comment