Sunday 31 January 2016

MHE. NAIBU WAZIRI DKT. SUSAN KOLIMBA ATEMBELEA KITUO CHA UTOAJI HUDUMA KWA PAMOJA MPAKANI HOLILI

Mhe. Naibu Waziri Dkt. Susan Kolimba (katikati) akiwa katika mazungumzo na Maafisa wa Kituo cha Kutolea Huduma kwa Pamoja  Holili.
Maafisa wa Kituo cha Kutolea Huduma Kwa Pamoja cha mpaka wa Holili wakimsiliza Mhe. Naibu Waziri Dkt.Susan Kolimba (hayupo pichani)
Mhe. Naibu Waziri Dkt. Susan Kolimba (kushoto) akizungumza na watendaji (hawapo pichani) wa Kituo cha Kutolea Huduma kwa Pamoja mpaka wa Holili
Msimamizi wa Kituo cha Kutolea  Huduma kwa Pamoja Mpakani Bw. A. Mwakalobo (kulia-aliyesimama) akitoa malezo kwa Mhe. Naibu Waziri Dkt. Susan Kolimba (wapili kushoto kati ya walioketi) juu ya ufanyaji kazi wa kituo hicho
Mhe. Dkt Susan Kolimba (kushoto) akiwa katika kituo cha kutolea huduma kwa pamoja (OSBP) mpaka  wa Holili, Kulia ni Mkurugenzi wa Sera na Mipango Bw. Petro Lyatuu
Mhe.Naibu Waziri Dkt. Susan Kolimba (kulia) akiwa ameongozana na msimamizi wa Kituo cha Kutolea huduma kwa pamoja (One Stop Border Post) mpaka wa Holili alipotembelea kituo hicho 30/01/2016










No comments:

Post a Comment